Uploaded by telvin hans

CV

advertisement
S.L.P 2987
DODOMA
28.07.2021
Mkurugenzi ,
Utawala na Rasilimaliwatu,
Mamlaka ya usimamizi wa Bima Tanzania.
S.L.P 9892,
DAR ES SALAAM.
K.K: Meneja,
Kanda ya Kati – Dodoma,
S.L.P 2987,
DODOMA.
YAH:OMBI LA RUHUSA YA MITIHANI
Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Natarajia tarehe 2.08.2021 kwenda Dar es salaam ili niweze kufanya maandalizi ya
mitihani ya special ambayo itaanza tarehe 09.08.2021 na kumalizika tarehe 20.08.2021
katika chuo cha Elimu ya Biashara .
Baada ya kumaliza mitihani nitarejea Dodoma tarehe 23.08.2021 kuendelea na mafunzo
kwa vitendo (Field Practical Training) kama nilivyopangiwa.
Natumaini ombi langu litakubaliwa .
Rainer Herman.
Nakala : Mkurugenzi ,
Maendeleo ya Soko na Utafiti,
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania.
Download