Uploaded by Junior Mbura

ni kwa neema

advertisement
KWAYA YA MTAKATIFU YOHANE PAULO WA PILI
PAROKIA YA KUNG’ARA KWA YESU KRISTO
MBEZI MSHIKAMANO
; Kyp02_choir
; kwaya ya Mt.Yohane Paulo II
; Kyp02@gmail.com
YAH: MWALIKO WA SIKUKUU YA YOHANE.
Tunayofuraha kukualika Mwalimu Philipo, Mwalimu wa
kwaya ya Mt. Maria Goretti Tabata, katika sikukuu yetu ya
Mtakatifu Yohane Paulo wa pili itakayofanyika siku ya
jumapili tarehe 22/10/2023 parokiani kuanzia saa 1:30
tukianza na misa takatifu na kumaliza na tafrija fupi ya
kiparokia, aidha kutakuwa na mafungo siku ya jumamosi
21/10/2023, ambayo yatahusisha semina yenye mada
isemayo “UTUME WA UIMBAJI NA UKRISTO WETU”,
Kitubio na Misa takatifu. Kadhalika tungependa kama
ungeweza kujumuika nasi katika zoezi letu la mwisho siku ya
ijumaa tarehe 20/10/2023.
Wako katika utume
J.MBURA
Mwalimu wa Kwaya.
Download