Uploaded by matthewmuathime

Hadithi Za Kiswahili

advertisement
Hadithi Za Kiswahili
Jibu maswali yafuatayo
1. Jina la msichana mwenye anaongelewa kwa hadithi ni?
Cindarella.
2. Baba wa Cindarella alikuwa na bibi ngapi? Alikuwa na
bibi wawili, bibi wa kwanza ambaye ni mama wa
Cindarella aliaga dunia.
3. Cindarella alikuwa na ndugu ngapi wa kambo?
Wawili.
4. Babake Cindarella alipoenda kazini nini
ilifanyika? Mama yake wa kambo, alimfanya
Cindarella awe kama mfanyikazi wa nyumba na
alimtesa sana.
5. Ndugu zake wa kambo, Cindarella walimpenda?
La hasha, ndugu zake wa kambo hawakumpenda kwa
sababu ya urembo yake.
6. Askari wa mfalme alitangaza nini? Aliwatangazia
kwamba wanakijiji wote wahudhurie hafla ya mtoto
wa mfalme.
7. Hafla hiyo ilikuwa ifanyike wapi? Katika
nyumba ya mfalme.
8. Ajili ya hafla hiyo ilikuwa nini? Ilikuwa kwa ajili
ya kuchagua mtoto wa kike ambaye atakuwa mkewe
wa mtoto wa mfalme.
9. Ni nani alimsaidia na kumwezesha Cindarella
kuenda katika hafla ya mtoto wa mfalme?
Mjumbe wake kutoka kwa mama yake.
10 .Mamake Cindarella wa kambo na watoto wake
walihukumiwa jela miaka mingapi na kwa nini?
Walihukumiwa jela kwa miaka mitatu kwa sababu
ya kumdanganya mlinzi wa mfalme. Lakini baadaye,
Cindarella aliwatakia msamaha na walitoka
gerezani.
Download