Uploaded by malistepho

MUHTASARI WA KWAYA

advertisement
KIKAO CHA KWAYA CHA TAREHE 18 NOV 2023
MAHUDHURIO
NA
JINA
1 PR. ANTONY MANYANDA
2 PETER KAZIMOTO
3 MALIMI S. MDONGO
4 PERAJIA RUBATUKA
5 ELIDA GODSON
6 HIMIDI NATHANAEL
7 WILSON JOTHAM
8 GILSELDA MBUMBA
9 BOAZ ELIAS
10 SARAFINA
11 JORAM KABADUMBA
12 STEPHANIA MGANDA
13
WADHIFA
MCHUNGAJI
MZEE WA KANISA
KATIBU WA KWAYA
MWIMBAJI
MWIMBAJI
MWIMBAJI
MWIMBAJI
MWIMBAJI
MWIMBAJI
MWIMBAJI
MWIMBAJI
MWIMBAJI
SAHIHI
AGENDA
1. Kufungua kikao.
2. Uhai wa kwaya.
3. Uinjilist
4. Ununuzi wa piano/kinanda cha kwaya.
KUFUNGUA KIKAO
Kikao kilifunguliwa na Mzee wa kanisa mzee Peter Kazimoto (Ndiye alikuwa mwenyekiti
wa kikao) mnamo saa 8:15 Alasiri kwa kuwauliza wajumbe kuimba wimbo namba 12 na
baada ya wimbo ombi la ufunguzi lilitolewa na____________.
Baada ya ombi mwenyekiti alimruhusu katibu kusoma ajenda za kikao ambapo katibu
alisoma ajenda hizo kama zilivyoorodheshwa katika kipengele cha ajenda hapo juu.
1. UHAI WA KWAYA
1.1. Changamoto
Mwenyekiti wa kikao aliwaruhusu wanakwaya wachangie mambo kadha wa kadha
yanayodhaniwa yanahafifisha uhai wa kwaya. Wakitoa michango mbaimbali wajumbe
waliibua changamoto zifuatazo.
i.
Waimbaji wengi wamekuwa waimbaji wa matukio. Wengi wao huonekana
wakisikia kuna dhiara ya kikwaya.
ii.
Wanakwaya wengi kutozingatia muda wa mazoezi uliopangwa na kupelekea
mazoezi kutofanywa kwa wakati.
iii.
Walimu wa kwaya kutoonekana kwenye mazoezi ya kwaya hivyo hupelekea
kuvunjika moyo kwa baadhi ya wanakwaya.
1.2. Utatuzi wa changamoto hizo
Ili kuepukana na changamoto hizo wajumbe walishauri na walipendekeza
yafuatayo.
i.
Download