Uploaded by Martine Michael

grace makala11

advertisement
kupanda kwa gharama za maisha kumeibua mawazo mengi kwa vijana walio wengi
hasa ni kwa wale ambao bado wanadhamna ya kuShikiliwa maisha na mtu mwingine
Ni kweli gharama za maisha zimekuwa juu sana, na tukisema kila mmoja
aalamike bado haitakuwa n jia sahii ya kuendana na hali halisi ya maisha kwa
hivi sasa.....
karibu kusikiliza makala inayo angazia ni kwanamna gani vijana wa vyuo vikuu
na vya kati wanaweza kukabiliana na changamoto ya kupanda kwa gharama za maisha
.... inayoletwa kwako nami Grace ibrahim
VIJANA WENGI WALIOKO VYUO VIKUU NA VYAKATI HUONA MAISHA KUWA MAGUMU
HII NI PALE WANAPO KUWA wANAAMINI KUWA JUKUMU LA MAISHA YAO SIO LAO BALI NI
LA wazazi pamoja na walezi wao. . Lakini unapokubali kuwa jukumu la maisha
yako ni lako unakubali kuyabeba maisha yako kama yalivyo. na kwa kupitia hili
hakuna mtu atakaelumiwa juu ya maisha ya mtu mwingine
Matumizi SAHII ya pesa ni muhimu yaende sambamba na malengo uliyojiwekea; yawe
ya muda mfupi au mrefu ili kuhakikisha kila ulichokipanga hakiathiriwi na
matumizi yako .
vyuo vikuu navyuo vya kati hukutanisha vjana mbalimbali kote nchini ambao
kati yao wapo ambao wananufaika na mikopo kutoka serikalini wakati wengine
maisha yao hutegemea kwa kiasi kikubwa kutoka kwa wazazi wao ili waweze
kujikimu kimaisha wawapo katika mazingira ya chuo.
MOSHI KONI ni mwanafunzi katika chuo kikuu cha mt augustino ambae anaeleza
utofauti wa haLI ya kimaisha aliyonayo kwa sasa kutokana na ugumu wa maisha
licha ya kwamba yeye ni mnufaiika wa mkopo kutoka serikalini
cut.... kone
licha ya mwanafunzi huyu kuona bado pesa anayoipata hitoshi kukidhi mahitaJI
yake kama m wanafunzi licha ya kwamba
yeye ni mnufaika wa mkopo lakini pia
wapo wanafunzi ambao sio wanufaika lakini bado wanapambana kukabilina na
kupanda kwa gharama za kimaisha
kama ilivyo kwa khadija moree ambae ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu kwa yeye
hutegemea pesa kutoka kwa wazazi wake ambae pia anaeleza ni kwa namna gani
anakabiliana na kupanda kwa gharama za maisha
cut khadija
mbali na wanafunzi wenye mikopo na wasio na mikopo bali pia wapo wanafunzi
ambao walipoanza masomo walikuwa hawana mikopo lakini wamebahtika kupata
mikpo wakiwa wanaendel;ea na masomo... KAMA ILIVYO KWA JOHN CLAKSON......
KUIGA KWA MITINGO YA KIMAISHA KWA WANAFUNZI WENGI WALIOVYUONI IMEELEZWA KUWA
NI MOJA YA CHANGAMOTO AMBAYO INAPELEKEA WENGI WAO KUSHINDWA KUISHI KULINGANA
NA HALI YA KIM,AIHS ILIVYO KWA SASA SUALA AMBALO HUPELEKEA WENGI WAO KUINGUIA
KATIKA SHUGHULI ZISIZO RASMI KWA LENGO LA KUPATA PESA ILI KUJIKIMU
KIMAISHA WAWAPO VYUONI..... LAKINI PIA KUSHINDWA KUJUA KILE KILICHOWAPELEKA
VYUONI.
KHADIJA HAPA ANATUELEZA NI KWA NAMNA GANI YEYE MITINDO YA KIMAISHA YA WATU
WENGINE HAIMUATHIRI LICHA YA KUWA NA MARAFIKI WENYE UWEZO TOFAUTI TOFAUTI
.......KHADIJA
TATIZO LIMESHAJULIKANA NA INATAKIWA MAISHA MENGINE YAENDELEE LICHA YA KWAMBA
BEI YA VYAKULA NA BIDHAA MBALIMBALI ZIMEPAANDA
EMMY MICHAEL YEYE ANELEZA NI KWA NAMNA GANI YEYE ANACHUKU HATUA ILI KUWEZA
KUENDANA NA HALI HII YA KUPANDA KWA GHARAMA ZA MAISHA
CUT.....EMMY
VIVYO INAELEZWA NA KIJANA EMMENUEL HAIMU ........KUHUSU NMAN ANAVYOENDANA PIA
NA HALI YA SASA YA KIMAISHA......
NI KWELI KWAMBA WAPO WANAFUNZI VYUONI AMBAO BADO HAWAELEWI NAMNA GANI
WANAWEZA KUPANGA VYEMA BAJETI ZAO KULINGANA PESA AMBAYO WANAYOIPATA ILI
KUJIWEKA SEHEMU SALAMA KABISA YA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA KIMAISHA
HUSUSANI KATIKA HALI YA SASA
SAUALA HILI LIKANIFANYAKUPIGA HODI1 na kumtafuta mchumi kutoka chuo cha mt
augustino ndaki ya mwanza DR..ISACK SAFARI ambae pia ameeleza zipi sababu
zinazo wafanya wanafunzi waliowengi kushindwa kuendana na hali ya kimisha ya
sasa licha ya kwamba wapo baadhi wanao pata fedha za kujikimu kutika serikalini
cut ..... DR ISAACK
mbali na kutoa sababu hizo lakini pia hapa anaeleza licha ya kwamba hali ya
kimaisha imepanda kwa kiasi kikubwa anatuweka wazi ni kwanamna gani vijana
hususani walio katika vyuo vikuu na vya kati wanaweza kukabiliana na
changamoto hii kwa sasa il fedha wanazopata ziweze kuendana na hali ya kimaisha
cut.......DR SAFARI
ALIONGEZA KWA KUSEMA KIKAWAIDA SUALA LA KIUCHUMI HUTEGEMEANA NA MTU MWENYEWE
NAMNA ANAVYOKUBALIANA NA HALI HLISI YA KIMAISHA ILI KUENDANA NA UHALISIA
ULIOPO KWA SASA HIVYO WWANAFUNZI WAMEOMBWA KUISHI KULINGANA NA UHALISIA WA
MAISHA YAO.
EWE KIJANA UNASHAURIWA...usijali kuona watu wengine watakufikiriaje, angalia
unataka nini, hata ukijali watu hakuna mtu anayekuja kwako nakukuambia naomba
nikusaidie kulipia bili, zote unapambana wewe mwenyewe kwaninni sasa katika
matumizi uwafurahishe watuwengine? Kuwa makini sana na jali maisha yako na
siyo maneno ya watu, kwani maneno ya watu hayakusaidii kitu kikubwa ni
kupambania ndoto zako ili kufikia malengo yako.
asante kwa kusikiliza makala hii mimi ni Grace Ibrahim.
Download