Uploaded by Isaya J Elisha

FREE PDF (WhatsApp Marketing)

advertisement
“Jinsi Raphael Alivyotengeneza Zaidi
ya Tshs 300,000+ Ndani ya Masaa 24
Tu Kupitia WhatsApp Status yake… (na
Jinsi Utakavyotengeneza Pia)”
01/06/2022 nilitoa Kitabu (eBook) kwa watu 50 Tu…Kinachoelekeza
hatua kwa hatua jinsi ya kutumia WhatsApp kuuza bidhaa/huduma kwa
Mtanzania wa kawaida…
Na ndani ya kitabu nilielekeza jinsi ya kuuza bidhaa/huduma Kwenye
WhatsApp kupitia hivi vipengele 5 hapa chini…
• WhatsApp Groups
• WhatsApp Status
• WhatsApp one-on-one messages (Inboxes)
• WhatsApp Broadcasting Lists
• Friend’s WhatsApp
Miongoni mwa watu 50 wa kwanza waliopata kitabu cha jinsi ya
Kutumia WhatsApp kutengeneza pesa ni “Raphael”
“Na hii ndio shuhuda aliyoituma kwenye Mentorship Group
Mwezi Uliopita….”
Ambapo aliweza Kuingiza zaidi ya Tshs 300,000 ndani ya masaa 24 tu
kupitia WhatsApp status yake…
Kwahiyo kama unataka Kuuza Bidhaa yako na
kutengeneza Pesa Nyingi Kupitia WhatsApp Status
yako…haya ndio MAKOSA 3 Makubwa ya
Kuepuka… (na hiki ndicho Kilichomsaidia Raphael
Kutengeneza Zaidi ya Tshs 300K ndani ya masaa 24
Tu)
1) Kusema Mzigo Upo wa KUTOSHA/Mwingi
Watu wengi sana wanakosa mauzo kwenye WhatsApp status zao…kisa
neno “MWINGI/WAKUTOSHA”
Kwanini?...
Kwasababu Neno mwingi halimpi mteja sababu ya kuchukua hatua
muda huo
Mteja akishaona neno MWINGI/Wakutosha kichwani mwake anajiuliza…
”Kwanini ninunue leo, kesho au kesho kutwa wakati mzigo upo wa
kutosha?”
Watu hawanunui vitu bila sababu…kinachowafanya watu kununua vitu
ni HOFU ya Kukosa (Fomo)
Kwahiyo mpe mteja wako sababu ya kununua bidhaa yako muda huo
kwa kumtengenezea Udharura kama…Ukomo wa muda na ukomo wa
idadi
Mfano…
Mwisho wa OFA hii ni leo saa Sita kamili usiku na Bidhaa zimeshabaki 5
Tu kwenye Stock… (Sentensi hii imejaa udharura na hofu ya kukosa
kwahiyo inampa mteja wako sababu ya kuchukua hatua muda huo)
2) Kuposti Picha ya Bidhaa Kwenye WhatsApp Status
yako bila CAPTIONS…
Unapouza kwenye WhatsApp status yako…kumbuka kwamba kuna
Tofauti kati ya KUUZA na KUONESHA bidhaa
Unapoposti bidhaa tupu bila CAPTION Hapo hujauza bali
umeonesha…Kinachouza bidhaa kwenye WhatsApp status yako ni
Caption sio Picha
Kazi ya picha ni Kuteka Attention ya wateja wako pekee na sio kuuza
bidhaa
3) Kutengeneza TAIRI Kwenye WhatsApp Status yako…
Hakuna kosa kubwa kama kuiweka WhatsApp status yako BIZE pindi
unapouza bidhaa/huduma yako
Kwanini?...
Kwasababu hiyo inaonekana kama kazi kwenye ubongo wa mteja
Pia Kisaikolojia ukimpa mteja chaguo Zaidi ya Tatu…anapatwa na kitu
kinachoitwa “Analysis Paralysis”
Yaani mteja akiona status yako imetengeneza Tairi au umeposti Zaidi ya
picha tatu…basi anaishia Ku-VIEW tu na kupita bila kufanya chochote…
(Anapararazi kwenye ubongo)
Najua utakuwa unajiuliza… ”Sasa Nyanda Tunatakiwa Tuposti Picha
Ngapi?”
Swali zuri sana…
Siri ya kutoka kwenye huo mtego inaitwa…
“The 3 Boxes Method”
The 3 Boxes Method ni pale unapompa mteja wako chaguo tatu ili
achague Kile cha kati kati…
Na hii ndio mbinu utakayoitumia kuposti bidhaa unazouza kwenye
WhatsApp status yako…kwa kuposti picha tatu tatu tu
Haya matokeo ya Raphael ni Shuhuda tosha kwamba Kuuza kwenye
WhatsApp inalipa…
Kutokana na ripoti ya TCRA ya Mwaka 2021…inasema Kwamba
Tanzania inakadiriwa kuwa na Jumla ya Watumiaji wa Mtandao wa
WhatsApp Milioni 8…na bado idadi inazidi kuongezeka kila kukicha
Hiyo ni sawa na kukwambia kwamba… “Soko ni Kubwa mno”
“Na habari njema Zaidi ni kwamba…Uhitaji kuwa na Duka
au Ofisi yoyote ili Kuanza Kutengeneza pesa kwenye
WhatsApp yako ni Simu yako tu ya Mkononi (Smart phone)
then boom”
Najua utakuwa unajiuliza… “Sasa Kama WhatsApp ina faida kiasi
hicho inakuwaje Watanzania Wengi bado hawaitumii Kuuza
bidhaa/huduma zao au kutengeneza pesa?”
Swali zuri sana…
Kuna sababu kuu 2…
a) Wengi Bado Hawajui kama wanaweza kutengeneza pesa
kupitia WhatsApp zao au…
b) Wanajua kama wanaweza kutengeneza pesa Kupitia
WhatsApp zao…ila bado hawana ujuzi wa kufanya hivyo
Soko hili Jipya la WhatsApp linalokuwa kwa kasi ni kwa ajili yako
endapo tu una Smartphone na Kitu cha Kuuza (Bidhaa/huduma)
Kama ungependa Kujaribu soko hili Jipya la “WhatsApp Marketing”
…Basi niruhusu nikitambulishe kitabu (eBook) changu kipya
kinachoelekeza hatua kwa hatua Jinsi ya Kutengeneza Pesa Kupitia
WhatsApp yako kinachoitwa…
“WhatsApp-MKWANJA”
Baada ya Kujinyakulia Kitabu Chako utaenda Kugundua na
Kujifunza SIRI hizi hapa chini…ambazo huwezi kuzipata popote
pale kwa sasa….
▪ Siri niliyojifunza kutoka kwa raisi wa 26 wa
marekani,ambayo iliyapaisha mauzo yangu ndani ya
usiku mmoja…90% ya wanasiasa, wasanii na watu
wote maarufu hutumia siri hii kushawishi
▪ Tumia hizi njia 5 kutengeneza pesa kupitia
WhatsApp yako…(sio kile unachofikiria)
▪ Makosa 7 ya Kuepuka Pindi unapouza chochote
kwenye WhatsApp status yako… (Kosa No.7
litakuacha mdomo wazi)
▪ Tumia hizi hatua 7 kutangaza na kuuza kwenye MaGROUP yako ya WhatsApp…(Hatua No.6 wengi hawaijui
na ndiyo yenye hela zako)
▪ Hili ndilo chujio la uhakika la kupata wateja
watakaonunua bidhaa/huduma kwenye WhatsApp
yako…(Ingia Chapter 4)
▪ Jinsi ya kutumia WhatsApp yako kuuza kwa watu
wanaokujua…(Ingia chapter 5)
▪ Jinsi ya kutumia WhatsApp yako kuuza kwa watu
wanaoku-follow mtandaoni…(Ingia Chapter 6)
▪ Jinsi ya kutumia WhatsApp yako Kutangaza na Kuuza
kwa watu wasiokujua…(na hapa ndipo penye hela
zako nyingi mtandaoni, chapter 7)
▪ Tumia Funnel hii ya Siri inayoitwa “MM-Funnel”
ili kuuza bidhaa yako kirahisi Zaidi
mtandaoni…(chapter 9)
▪ Hivi ndivyo Vitu 8 vya kuposti ili Kuuza Zaidi
Kwenye WhatsApp status yako…(Sivyo unavyofikiria,
chapter 10)
▪ Jinsi ya Kupata MAFURIKO ya wateja BURE kutoka
Mtandaoni hata kama hauna Followers wengi kwa
kutumia Formula hii ya siri inayoitwa “The 3
Comments Technique….(hii hapa chapter.11)
Kitabu Hiki Hakijatoka Rasmi ila Baada ya Kutoka Kitauzwa Tshs 57,000
Lakini…
“Watu 100 Tu Kwa sasa Watakipata Kitabu kwa
Exclusive OFA ya Tshs 29,999 Tu… (Badala ya Tshs
57,000)”
Kwanini ni Tshs 29,999 Tu…(Badala ya Tshs 57K)?....
Ili Kila mmoja mwenye kiu ya kutengeneza pesa Kupitia WhatsApp yake
aweze kupata kitabu japo sio kwa ajili ya kila mtu na Nafasi ni 100 Tu
Mwanzoni Nilikiuza kwa watu 50 tu kwanza ila baada ya kupata
Mafuriko ya shuhuda…nikaamua kuongeza tena nafasi zingine 50 na
Mpaka sasa tayari zimeshabaki nafasi 10 Tu
Kama utalipia Kitabu chako ndani ya Masaa 48…Basi
Utapata BONUSSES hizi hapa chini BURE Kabisa….
1). Utaungwa kwenye Mentorship Group ya WhatsApp ya
Miezi 3 BURE, ambapo utashikwa mkono na kupata ushauri
muda wowote BURE…(Thamani yake huwa ni Tshs 299K)
2). Unapata PDF BURE yenye Formula ya Kuandika
Matangazo ndani ya dkk 15 tu iliyokuwa inatumiwa na nguli
wa Copywriting “David Ogilvy” …(Thamani yake ni $79.9)
3). Unatumiwa Link ya Siri BURE yenye Mkusanyiko wa
Matangazo yote yaliyowahi Kuitikisa Dunia miaka ya 80’s &
90’s…(Thamani yake ni $227)
Ili Kupata Kitabu chako ndani ya DKK 2 tu Kwenye WhatsApp
yako Pamoja na BONUSSES Zake zote….basi Lipia Tshs
29,999 Tu (Badala ya Tshs 57K) Kupitia Namba hizi Hapa
Chini
M-PESA/TIGO-PESA
0767-912-157 / 0679-912-157
Jina : Amosi Nyanda
Baada ya Malipo Nitumie Jina Lako WhatsApp ili nikutumie Kitabu chako
ndani ya Dkk 2 Tu pamoja na BONUSSES Zake zote Kabla Nafasi
Hazijaisha
Vipi Bado Una wasi wasi kama Kitabu Hiki Kitakufaa?...
Usijali naelewa jinsi unavyohisi kwani hata hawa hapa chini pia walikuwa
na Hofu hiyo hiyo Kabla ya Kupata Kitabu…lakini Angalia wanavyosema
sasahivi….
Angalia Lilian kutoka Dar anavyosema hapa chini…..
Khalfan kutoka Kinondoni Dar es salaam yeye anasema….
“Gharama ya Kitabu imerudi na FAIDA ya Tshs 155,000 ndani
ya masaa 24 Tu”
Kama bado una wasi wasi juu ya kitabu licha ya kuona shuhuda zote
hizo basi SIKUSHAURI Kununua…ila kama unataka kuibadilisha
WhatsApp yako kuwa Mashine ya Kukuchapishia Pesa basi Lipia Kitabu
chako SASAHIVI Kupitia namba hizi hapa chini…kabla OFA Haijaisha
Kumbuka Nafasi zimeshabaki 10 Tu…na OFA Hii ni ya Masaa 48 Tu
P.S. Aidha Uendelee kuitumia WhatsApp yako Bila Faida
yoyote au Uitumie kama chanzo cha Kutengeneza
Pesa…chaguo ni Lako
Lipis Tshs 29,999 Tu… (Badala ya Tshs 57K) Kupitia namba hizi hapa
Chini SASAHIVI
M-PESA/TIGO-PESA
0767-912-157 / 0679-912-157
Jina : Amosi Nyanda
Imetoka Katika Dawati la “Amosi Nyanda”
Moshono, Arusha,
Ahsante!
Download
Study collections