Uploaded by lusekelo njoka

MKATABA WA KUPANGISHA NYUMBA

advertisement
MKATABA WA KUPANGISHA NYUMBA/KIBANDA
Mimi WAKATI NJOKA MWASEGILE.
Nimempangisha Ndugu…………………………………………………….
Nyumba /Kibanda No…. kuanzia tarehe………………………………… hadi
tarehe…………………… kwa Tsh…………………… kila mwezi, kwa miezi…….
Jumla Tsh………………..
Masharti kwa mpangaji
1.kulipa kodi kwa miezi 3 (lazima) na Zaidi kulingana na mahitaji ya
mpangaji.
2.kufanya ukarabati/matengenezo yaliyosababishwa na mpangaji
mwenyewe.
3.kulipa bill ya maji na umeme.
4.kufanya usafi wa nyumba /mazingira ya ndani na nje.
5.malipo ya serikali na TRA kwenye kibanda ni juu ya mpangaji
mwenyewe.
6.kufanya ukaguzi wa nyumba au kibanda panapobidi.
Sahihi ya mpangaji……………………………………….
Sahihi ya mpangishaji………………………………………
Tarehe………………………….
Download