Uploaded by Hemed Alhilal

delaying of works kwr phase 2

advertisement
Katibu Mkuu
Wizara ya Elimu na Mafunzo Ya Amali
P. O. Box 394
Zanzibar
YAH: KUCHELEWESHWA KWA KAZI YA UJENZI WA SKULI YA KWARARA
Tafadhali husika na mada hiyo hapo juu pia naomba urejee barua ya tarehe 05/11/2019 yenye Kumb Na.
MCHANGA-03/AGT/NOVEMBER-2019.
Napenda kukujulisha kuwa kasi ya ujenzi wa skuli imedorora kutokana na kutopatikana kwa mchanga
mweupe unaofaa wa kupigia “plasta” na kufanyia “floor”.
Hivyo tunaomba tupatiwe mchanga huo kwa haraka ili tuendele kazi.
Ahsante
Wako mtiifu,
…………………………………
Hemed Nassor Mohammed
Mkuregenzi Mtendaji
Al-Hilal General Trading Co. Ltd
Nakala: Eng. Hamisi O. Shemy
P. O. Box 266, Kisauni
Zanzibar
Mkurugenzi
Idara ya Misitu na Mali Zisizorejesheka
Zanzibar
Download