Uploaded by EDWARD GEORGE

kiswahili

advertisement
DARASA LA NNE MUHULA WA PILI 2018
KISWAHILI LUGHA
DARASA LA NNE KASKAZINI
Jaza nafasi katika mtungo huu.
Mapapai _1_yalinunuliwa_2__hayajakomaa vizuri.Tulijaribu __3___sokoni. Lakini soko hilo__4__lilikuwa
limefungwa___5___.nilichukua__6___kikubwa nikampa mama____7___alituambia kwamba
mapapai_8____hayawezi kuoza____9_____pahali_____10_____.
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
A. mbichi
A. zikiwa
A. kuyarudisha
A. nayo
A.lote
A. mfuko
A. Nao
A. zote
A.yakitunzwa
A. nzuri
B. mibichi
B. ikiwa
B. kuzirudisha
B.nacho
B. yote
B. gunia
B. Nayo
B.yote
B. ikitunzwa
B. mzuri
C. mabichi
C. ukiwa
C. kuirudisha
C.nalo
C. zote
C. debe
C.Naye
C.lote
C. ukitunzwa
C.zuri
D. bichi
D. yakiwa
D. kurirudisha
D.naye
D. chote
D. kikapu
D.Nacho
D.chote
D. zikitunzwa
D.pazuri
Chagua jibu sahihi
11. Mamake mamako anaitwa_________________________.
A.mama
B.nyanya
C.rafiki
D.dada
12. Mzazi wa mzazi wakoni____________________________.
A.babu au mama B.mjomba
C. babu au nyanya
D.shemeji
13. Andika wingi wa sentensi hizi
Samaki amevuliwa.
A. masamaki wamevuliwa B. Samaki zimevuliwa
C. Samaki wamevuliwa
D. Samaki yanavuliwa
14. Jiwe kubwa hili
A.Mawe kubwa ni haya
B. Mawe makubwa ni haya C. Majiwe makubwa ni haya
Tumia kiashiria sahihi
15. Mbwa__________ wamelala
A. Zile
B. Yule
C. Huyu
D.Wale
16. Kuku__________ wameuzwa
A. Hao
B. Hizi
C. Huyu
D. Zile
C. Kile
D. Hizi
17. Birika____________ ni zuri
A. Hii
B. Hili
Andika majina ya vifaa hivi
D. Jiwe makubwa ni haya
18. Chombo cha kupepetea nafaka___________
A. Bilauri
B. uteo
C. sinia
D. mbuzi
19. Jiko la kupikia kutumia makaa ni
A. Mbuzi
B. kiko
C. majiga
D. seredani
C. ufagio
D. manyoya
20. Hutumiwa kufagia
A. Mwiko
B. kifagio
Kamilisha methali na vitendawili
21. Akiba ____________
A. Haidumu
B. haiozi
C. haibaki
D. haipo
22. Ngoja ngoja huumiza____________
A. Matumbo
B. mwili
C. kichwa
D. mdomo
23. Fatuma mchafu__________________
A. Barabara
B. nguruwe
C. ufagio
D. kifagio
24. Mama nieleke _________________________
A. Kiti
B. usingizi
C. baba
D. kitanda
25. Habari ya asubuhi_____________________
A. Nzuri
B. mzuri
c. njema
D. poa
26. Hamjambo______________________________
A. Sijambo
B. hatujambo
C. marahaba
D. asante
Tumia kiulizi –pi
27. Mtoto mwerevu ni ______________
A. Yupi
B. wapi
C. upi
D. ipi
28. Vifaranga wabaya ni______________
A. Wayupi
B. ipi
C. wapi
D. mpi
29. Yai ___________ limevunjika
A. Zipi
B. wapi
C. lipi
D. yupi
30. Panga maneno haya yawe sentensi sahihi.
Akalia yangu alichapwa rafiki__________________________________
Soma kifungu kisha ujibu maswali 31-40
James na mke wake karibu waliishi katika kijiji cha robo safi.walikuwa watu fukara wa mali.hawakuwa na mifugo
yoyote ama vile kondoo, mbuzi, ngombe wala kuku.hawakubarikiwa na mtoto.
Hata hivyo walikuwa watu wema sana.walikuwa na roho safi kama kijiji chao.walisema na watu wote kwa adabu na
heshima.vile vile walimpenda Mungu.Hawakuchoka kumwomba Mungu.ni kweli walikuwa maskini na fukara sana
wa mali Lakini walikuwa tajiri Zaidi wa wema.
31. Ni kweli kuwa James na mkewe walikuwa_________
A. Walevi
B. walimu
C. maskini
D. watoto
32. Jina la mwanamume aliyetajwa ni__________________
A. Karibu
B. mke
C. Hamisi
D. James
33. Ijapokuwa James na mkewe walikuwa maskini, walikuwa_____________
A. Wavivu
B. Tajiri wa wema
C. Wakora
D. Wajanja
34. Neno fukara limepigwa mstari, maana yake ni_________________________
A. Mwalimu
B. Tajiri
C. Mwizi
D. Maskini
35. Ni kweli kusema kwamba James na karibu____________________________
A. Hawakuwa na watoto B. Walikuwa na watoto
C. Walikuwa si wema
D. Walikuwa tajiri sana
36. Kondoo, mbuzi, ngombe na kuku ni aina ya_____________________________
A. Ndege
B. Mifugo
C. Ngombe
D. Maksai
37. Familia hii waliishi katika kijiji cha__________________________________
A. Nairobi
B. Roho safi
C. Fukara
D. Karibu
38. Kamilisha methali;
Wema_________________
A. Hauozi
B. Huoza
C. Ni mbaya
D. Huua
39. Mtu mwenye roho safi ni_______________________________
A. Anayepiga watu
B. Anayesengenya sana
C. Mcha mungu
D. Anayegombana sana
40. Hadithi hii inazungumzia nini?
A. Mtu mjanga
B. James na mkewe
C. Uwezo wa mungu
D. Shida za utajiri
Beres alikuwa mwanafunzi katika shule ya Eden Annex.alipenda kuwachokoza na kuwasumbua wenzake darasani
na hata barabarani walipokuwa wakielekea nyumbani baada ya masomo.alikuwa anashirikiana na Nzeva pamoja
na Mtune katika ujanja huu.
Siku moja Nzeva na Mtune walikosa kuudhuria masomo.sasa Beres akajua kwamba mambo yake
yameharibika.aliwaomba aliowakosea msamaha Lakini wakamwahidi angepata cha mtema kuni.siku hiyo Beres
alichapwa kweli kweli na akaapa kutorudia tena.
41. Je Beres alikuwa na marafiki wangapi?
A. Watano
B. Watatu
42. Mtoto ambaye anasoma anaitwa?
C. Wane
D. Wawili
A. Mwalimu
B. Mwanafunzi
C. Mhuni
D. Kitili
C. Unacheka
D. Unakataa
C. Eden Annex
D. Makini
43. Ukisamehewa, _____________________
A. Unakasirika
B. Unafurahi
44. Beres anasoma shule ipi? Ya_________________
A. Digitali
B. Nairobi
45. Ni nani waliokosa kuudhuria shule siku moja?
A. Beres na Mtune
B. Beres, Nzeva na Mtune
C. Nzeva na Mtune
D. Nzeva na Beres
C. Wawili
D. Wanne
46. Wavulana waliotajwa Kwa majina ni wangapi?
A.
Sita
B. Watatu
47. Je waliokosewa walimsamehe Beres?
A. La
B. Naam
C. Kidogo
D. Hawajasema
48. Waliotajwa kwenye ufahamu huu wana sifa_______________________
A. Mbaya
B. Nzuri
C. Nzuri na mbaya
D. Hatujui
B. Hakuchapwa
C. Aliadhibiwa
D. Alibeba kuni
B. Hakuchapwa
C. Alitoroka
D. Aliahidi kutorudia
49. Cha mtema kuni in a maana gani?
A. Walicheza naye
50. Ni kweli kusema Beres
A. Hakulia
Download